Added by fed calvin on May 22, 2012
Tambua kuwa ni wengi hasa vijana wa rika letu huanza mapenzi pasipo tambua umuhimu wa kuwa na mpenzi dats y baada ya muda huchuja wengi we2 wanadhani mapenzi ni ngono tu ni sawa na m2 anayeoa pasipo tambua nini maana ya kuoa,unaoa kwa madhumuni gani?na ili upate nini,wapo wanaooa kwakuwa wamechoka life la kigetogeto(kupika,kufua,na usafi kwa ujuml na wapo wanaooa kwa kuwa fulani kaoa hivyo hutafuta sifa bila kujua madhara ya kufuata mkumbo its over mwanangu keep in real & keep in touch
Tags:
Permalink Reply by Charles Ngindo on January 4, 2011 at 9:53am Duh kweli kaka kama rafiki yangu mmoja anadai ameoa mapema ili ili asipate shida kutafuta wadada wa kufanya nae ngono.. sasa kaka hiyo unaona imekaa gud kweli..? Mi naona Mkubwa hapo umeongea dats y cku hizi hizi ni full kutoana manundu sababu kubwa ni hiyo uliyosema kuoana wakati bado watoto wanachujua wao ni ngono tu.. very stupid..
Permalink Reply by sospeter wambura on January 4, 2011 at 1:11pm © 2012 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

