Added by fed calvin on May 22, 2012
Juzi tumeshuhudia wanafunzi wawili wa kidato cha nne wanakijifungua mara baada ya kumaliza mtihani wa Mathematics na Civics ktk moja iliyoko Iringa. Hivi kweli hawa wanafunzi hadi kufikia hatua hiyo walimu wao walikuwa hawawaoni kweli, ....ni kweli hatua vifaa vya kupima ujauzito mashuleni.....???? Unasemaje kuhusu hili....
Tags:
© 2012 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

