XXL Teen extra Awards inazidi kuleta mzozo, categories ni nyingi na kila moja inavutia ila kuna moja ipo interesting kwa namna yake, hii ni Music Website of the Year ambayo imepewa herufi D. Katika category hiyo, vichwa kadhaa vimesimamishwa, DJ Choka (D2), Bongo5 (D3), DJ Fetty (D4), Babkubwa (D5) na G5 Click (D1). Kwa kuichambua category hiyo, this day tunao G5.
Huu ni mtandao unaoundwa na vijana wadogo wane ambao wote wanagonga shule pande za UG ndani ya Kampala International University na NCC Learn IT.
Madogo wanaounda G5 ni Mustapha Suleiman, Ombeni Phiri, Desy Ernest na Nelson Kisanga ambao kupitia ubunifu wao, wameweza kuitengeneza G5click.com ambayo itavuma anga za kimataifa kiasi cha wengine
kuifananisha na Facebook.
Usipime!
G5 Click limeleta mapinduzi kwa kasi yake ya kupasha habari za burudani kwa wakati kupitia mtandaoni. Ndude zinazoifanya site hiyo ivutie ni kama kuwepo kwa ngoma mpya na kali on time, mashabiki
kuwasiliana na kuchati, kupata historia za wasanii, pia kujionea video na picha za matukio mbalimbali.
Akigonga matamshi kwa niaba ya wenzake, Mustapha alisema nasi
wikiendi iliyopita kuwa wapo serious ndiyo maana wanagonga mambo makubwa na akaongeza: “Hivi sasa tunajipanga kwa ajili ya kutambulisha njia mpya ya kutangaza, kusambaza na kuuza kazi za wasanii ili waondokane na kilio plus lawama kwa mdosi.” Jinsi ya kupiga kura kwenye category hiyo, unaandika SMS yenye neno TN unaacha nafasi ikifuatiwa na namba yake ya utambulisho (code) halafu unatuma kwenda 15551. Unaikubali G5? Gonga SMS yenye maandishi, TN D1 halafu unaitupa kwenda namba 15551. Pia unaweza kutembelea Nipe5.com ili uweze kupiga kura kwa internet.
XXL
Teen extra Awards inazidi kuleta mzozo, categories ni nyingi na kila moja inavutia ila kuna moja ipo interesting kwa namna yake, hii ni Music Website of the Year ambayo imepewa herufi D.
Katika category hiyo, vichwa kadhaa
vimesimamishwa, DJ Choka (D2), Bongo5 (D3), DJ Fetty (D4), Babkubwa (D5) na G5 Click (D1). Kwa kuichambua category hiyo, this day tunao G5. Huu ni mtandao unaoundwa na vijana wadogo wane ambao wote wanagonga shule pande za UG ndani ya Kampala International University na NCC
Learn IT.
Madogo wanaounda
G5 ni Mustapha Suleiman, Ombeni Phiri, Desy Ernest na Nelson Kisanga ambao kupitia ubunifu wao, wameweza kuitengeneza G5click.com ambayo itavuma anga za kimataifa kiasi cha wengine
kuifananisha na Facebook.
Usipime!
G5 Click limeleta mapinduzi kwa kasi yake ya kupasha habari za burudani kwa wakati kupitia mtandaoni. Ndude zinazoifanya site hiyo ivutie ni kama kuwepo kwa ngoma mpya na kali on time, mashabiki kuwasiliana na kuchati, kupata historia za wasanii, pia kujionea video na picha za matukio mbalimbali.
Akigonga matamshi kwa niaba ya wenzake, Mustapha alisema nasi
wikiendi iliyopita kuwa wapo serious ndiyo maana wanagonga mambo makubwa na akaongeza: “Hivi sasa tunajipanga kwa ajili ya kutambulisha njia mpya ya kutangaza, kusambaza na kuuza kazi za wasanii ili waondokane na kilio plus lawama kwa mdosi.” Jinsi ya kupiga kura kwenye category hiyo, unaandika SMS yenye neno TN unaacha nafasi ikifuatiwa na namba yake ya utambulisho (code) halafu unatuma kwenda 15551. Unaikubali G5? Gonga SMS yenye maandishi, TN D1 halafu unaitupa kwenda namba 15551. Pia unaweza kutembelea Nipe5.com ili uweze kupiga kura kwa internet.
You need to be a member of G5 world to add comments!
Join G5 world