Advertisement

Latest Activity

Yusuph Mcharia posted a status
"What's on your mind?"
15 minutes ago
Yusuph Mcharia posted songs
21 minutes ago
Profile Iconxiaomin, lidPamshe98, queen adu and 3 more joined G5 world
2 hours ago
TITO ANTHONY posted a status
"Hey people!Let us think about others who can not have even a single meal per day,while others are throwing foods."
12 hours ago

FIND G5 ON

ADVERTISEMENT

Top 3 Photos Today

1. yeah

Added by eddie juma on May 11, 2012

2. Miss mliman

Added by amran bakar on May 29, 2012

3. Enginear abdul malik

Added by amran bakar on May 29, 2012

HASHIM THABEET AMTWANGA T.I.D CLUB

T.I.D reports....Ilikua majira ya saa kumi unusu nikiwa natoka club billcanas pamoja na rafiki yangu ANNA tukiongozana kuelekea mlango mkubwa wa kioo nikiwa naongea na simu na Hisbert kwa sauti ya juu maana kelele za muziki zilikua zinasumbua nikiwa nimesimama nje ya mlango wa kioo ghafla akatokea bwana HASHIM ambaye alikua counter akiongea na wakata ticket akaja nje na kunipiga bonge la mtama nikaaunga chini ya sakafu na kuzirai kwa dakika kadhaa,mabaunsa wakanibeba na kuniweka pembeni maana nilikua mlangoni,nilipozinduka nilisikia maumivu makali kwenye mabega,mkono wangu wa kulia na mguu ambao unafanya kutembea kwangu kwa taabu,nikaangalia mkononi simu yangu sikuiona tena,nikawauliza mabaunsa wake jamaa amekwenda wapi!wakadai ameondoka tayari...nikajikokota kuelekea kwenye gari yangu na kuelekea polisi kutoa taarifa niweze kupata matibabu,nilipofika nikaaandika statement nikapewa namba ya case CD/RB/6848/10 pia nikapatiwa PF3 nikaenda hospitali nikapata matibabu,sasa hivi niko kitandani siwezi kutembea vizuri,pia nitashindwa kuperfom kwenye harusi ambayo tayari nishalipwa pesa tayari.SWALI langu ni kwanini ameamua kunidhalilisha vile mbele ya CLUB na FANZ ambao nilikua nawatumbuiza?kwanini ameamua kuniharibia kazi yangu?kwanini ameamua kunipiga bila ya kumkosea?JE NI SAWA HIVI JAMANI....naona MACHOZI YANANITOKA SINA CHA KUMUELEZA MAMA YANGU. habari kutoka kwa jabir ambae ni close friend wa t.i.d na kwa habari zaidi tembelea www.topbandtz.blogspot.com


ila kwa habari ambazo zipo chini ya kapeti kitaa ni kua inavyosemakana ANNA ambae ni rafiki yake TID aliekua nae club billcanas ndio chanzo cha ungonvi huo baada ya dem kutaka kumsalimia HASHIM THABEET na TID kukerwa na tukio hilo na akamletea dharau flani ndio akaamua kumpiga...hii ni habari ambayo kitaa kinalonga haijathibitika..

Views: 20

Tags: AMTWANGA, CLUB, HASHIM, T.I.D, THABEET

Comment

You need to be a member of G5 world to add comments!

Join G5 world

Comment by manase somanda on May 24, 2010 at 6:09pm
E BWANA HASHIMU TEMBEZA KICHAPO KWA MA MCs wote wachokozi kama tid
Comment by CLEY KALI on May 10, 2010 at 12:54pm
hashim ni harsh always na madem wakibongo wapunguze shobo ona sasa kamponza mkubwa amsalimie ili iweje?
Comment by jamillah jafar on May 10, 2010 at 10:41am
inauuuma sanaaa..yaani nashindwa kujizuia hapa kazini na machozi yananitoka,swali langu ni je, kwanini wasanii hampendani?
Comment by justice on May 9, 2010 at 6:45pm
TID kwa jinsi ninavyomuona ana tabia fulani ambazo hata mimi sifurahishwi nazo hasa za kuwa ba tabia kama za kina dada,wakati yeye ni kijana wa kitaani.
Hayo mambo sio mema hasa kwa sisi wavulana ambao sio kakijana kama yeye.
Aaache katabia ka kujiona kama kasichana bwana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

© 2012   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service