
Janey Godley left a comment for alfred b. kalimenze
Janey Godley left a comment for abdulrahman abdallah
Janey Godley left a comment for Abdulrahman AbdallahAdded by fed calvin on May 29, 2012
Mkali wa muziki wa hip hop kutoka kruu ya Wagumu G-Unit inayowakilisha kutoka pande za New York, Lloyd Banks amelipa fadhila za shangwe alipowa na mashabiki wa burudani hapa pongo baada ya kutoa maks zenye ujazo kwa taifa hili kupitia ngoma yake mpya ya ‘Any Girl’ aliyomshirikisha staa wa Murder Inc, Lloyd Katika kile kinachoonekana kama alikuwa na hamu kubwa ya kutoa hala zake kwa wana Bongo mchizi amechana mistari ya kuipa shavu nchini hii ya wapenda amani kwenye ‘vesi’ ya kwanza katika wimbo huo akisema “Baby, I’m a millionair Got a show hoppin outta’ the leer in Tanzania.
“Nimefanya shoo nyingi ulaya na Amerika lakini linapokuja Suala la Afrika siku zote nimekuwa siisahau Tanzania ndiyo maana nimeamua kuzungumza kitu kuhusu nchini hii kwangu kwangu mimi hii ni nchni nzuri katika zile ambazo nimewahi kuzitembelea” alisema Lloyd
Comment
© 2012 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.


You need to be a member of G5 world to add comments!
Join G5 world